Font Size
Yakobo 5:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
Yakobo 5:6-8
Neno: Bibilia Takatifu
6 Mmemhukumu na kum wua mwenye haki; yeye hakuwapinga.
Subira Na Mateso
7 Kwa hiyo, ndugu zangu, muwe na subira mpaka Bwana atakapo kuja. Angalieni jinsi mkulima anavyongojea ardhi itoe mavuno mazuri, jinsi anavyongojea kwa subira mvua za mwanzo na za mwisho. 8 Hali kadhalika nanyi muwe na subira. Muwe na mioyo tha biti kwa sababu kuja kwa Bwana kumekaribia.
Read full chapter
Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
Copyright © 1989 by Biblica